Quantcast
Channel: Makala – ShaffihDauda
Browsing all 676 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je Lukaku ni usajili sahihi, Sanchez atabaki au ataondoka – maswali 6...

Msimu wa 2017-18 wa Premier League unaanza mwezi mmoja kutoka sasa. Huku dirisha la usajili likizodi kushika kasi na pre season zikiwa zimeanza tuangalie maswali 6 makubwa kwa kila timu iliyoshika...

View Article


FIFA na wanachama wake wakizingatia haya, ubaguzi tutausoma kwenye vitabu vya...

Na Salym Juma, Arusha Mshambuliaji bora kabisa Duniani kuwahi kutokea baada ya Pele, Diego Maradona amekaririwa akisema kuwa aliwahi kubaguliwa akiwa Napoli. Kumbuka huyu ni Mzungu ila amewahi kukutwa...

View Article


Sio Conte na Costa pekee, wapo wengine waliowahi kuingia kwenye ‘bifu’ zito

Na Salym Juma, Arusha Kuna taarifa zinaenea kwenye mitandao kumuhusu Antonio Conte kutaka kufanya mazungumza na Diego Costa ili waweze kumaliza tofauti zao ambazo zilitokea katikati ya msimu japokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Japo umri unawatupa mkono, hawa ni wachezaji wanaozeeka na viwango vyao

Na Salym Juma, Arusha Kwenye mpira wa miguu, mchezaji akishafikisha miaka 30 huonekana mzee na hata kama akisajiliwa thamani yake kipesa huwa sio kubwa kama vijana wa miaka 22-28. Wachezaji wengi...

View Article

Sio Abdi Banda pekee, hawa hapa mabeki wasio na sifa ya ‘kubutuabutua’ barani...

Na Salym Juma, Arusha Wanasoka wengi wamezoea kuwaona mabeki wa kati wakiosha ‘kubutua’ hasa linapokuja suala la timu zao kushambuliwa. Jambo hili limekuwa la kawaida sana kwa mashabiki na mara zingine...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wachina wanavyoliamsha dude lilolala – AC Milan

Soka la ushindani linarejea tena Italia – Juventus wamepata changamoto mpya ambayo inakuja katika shape ya ‘mwamba uliolala’ kama AC Milan ambao wapo katika kukifanyia maboresho makubwa klabu yao ili...

View Article

Chelsea msimuite Lukaku msaliti, tazameni mwanya huu uliotumiwa na ‘Mashetani’

Na Salym Juma, Arusha Tar 6 July 2017 ilikuwa siku nzuri kwa ‘Mashetani’ kwani walifanikiwa kunasa saini ya bidhaa adimu kwa sasa ulimwenguni. Kumpata mtu aliyefunga magoli 26 katika michezo 39 kwa...

View Article

Ifahamu zaidi Baroka FC, timu iliyomsajili Abdi Banda wa Simba 

Na Salym Juma, Arusha Nikinukuu kauli ya Abdi Banda katika maandishi kwamba, wachezaji wajitume na wanatakiwa kuwa makini na nafasi, hasa zinapotokea nafasi za kutoka kwenda kucheza nje ya nchi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sababu kwanini Juve wamemuuza Bonucci, kisa cha kuzikataa Chelsea & Man City 

Uhamisho wa Leonardo Bonucci kutoka Juventus kwenda AC Milan kwa ada ya uhamisho wa 40 million euros ni moja ya biashara iliyoistua ulimwengu wa soka.  Tunaongalia kutoka nje tunashindwa kuelewa ni...

View Article


Kwa sababu hizi ‘piga ua’ jiandaeni kumuita Lacazette mchawi wa magoli pale...

Na Salym Juma, Arusha Jezi namba 9 ndiyo iliyokabidhiwa kwa mshambuliaji mpya wa Arsenal aliyesaini mkataba  wamiaka 5 mnamo July 5, 2017. Sitopenda kuizungumzia jezi hii ambayo imekuwa na bahati mbaya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Neymar to PSG: Hivi ndivyo waarabu wanavyoweza kutumia Trillioni 1+ kumsaini

Sakata la usajili wa mchezaji Neymar kwenda Paris Saint Germain linazidi kushika hatamu.Taarifa mpya zinasema mbinu walizotumia FC Barcelona kumpata Neymar wakati akiwa mchezaji wa Santos ndio huenda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mayweather vs McGregor: Namna pambano hili linavyotabiriwa kuingiza trillion 2.5

Floyd Mayweather vs. Conor McGregor ni pambano ambalo litafafanua vizuri maana ya tukio tajiri la kimichezo mnamo August 26 wakati pambano hili litakapovunja rekodi zote za kifedha zilizowahi kuwekwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mourinho Vs Guardiola nani kiboko kwa kumwaga mikwaja: Wametumia zaidi ya...

Kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita, soka barani ulaya limeendelea kuwa biashara kubwa. Wachezaji wamekuwa wakiuzwa na kununuliwa kwa mabilioni ya pesa kutoka timu moja kwenda timu nyingine, ndani ya...

View Article


Makinda wa kuchungwa EPL 2017/18

Na Salym Juma, Arusha Ligi kuu ya Uingereza ni miongoni mwa ligi 5 maarufu Duniani. Mara nyingi kabla ya kuanza kwa EPL, wachezaji kadhaa wamekuwa wakipewa nafasi ya kufanya vyema ila kumekuwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Starehe za Neymar huenda zikampeleka Dybala Camp Nou

Na Salym Juma, Arusha Brazil ni nchi inayopatikana Kusini mwa Amerika. Nchi hii imejaaliwa watu wenye Vipaji lukuki hasa mpira wa miguu. Brazil imejaaliwa warembo wazuri ambao wamekuwa wakipamba miji...

View Article


Baada ya Morata kwenda darajani, tegemea pengo lake kuzibwa na mmoja kati ya...

Na Salym Juma, Arusha Real Madrid ni klabu tajiri yenye mashabiki wengi kila kona ya Dunia. kuna jarida moja liliwahi kuripoti kuwa ‘Pitch’ ya Real Madrid ina thamani kubwa kwani unaweza kuwa...

View Article

Keita, Van Dijk na ‘mla bata’ Emerick Aubameyang watavyompa ubingwa wa EPL Klopp

Na Salym Juma, Arusha Liverpool ni timu kongwe nchini Uingereza na Ualaya kwa ujumla. Mataji ya Ulaya iliyochukua ukijumlisha na yale ya ligi kuu ya Uingereza yanaifanya timu hii kuheshimika zaidi...

View Article


Morata utaiweza jezi No. 9? Wenzako walipotea Chelsea wakiwa na jezi hii

Na Salym Juma, Arusha Alvaro Morata ni mshambuliaji hatari ambaye amefanya makubwa Juventus na Real Madrid kiasi ambacho Chelsea wameshawishika kutoa £60m kumsajili mchezaji huyu kutoka Madrid. Ubora...

View Article

Spurs na rekodi mbovu ya Wembley, wataendeleza mazuri ya White Hart Lane?

Na Salym Juma, Arusha White Hart Lane ulikuwa uwanja wa Tottenham Hotspur tangu mwaka 1899 hadi May 14, 2017. Uwanja huu uliokuwa unapatikana Kaskazini mwa jiji la London ulikuwa na uwezo mdogo wa...

View Article

Utamu wa pesa za usajili huenda ukamfukuzisha kazi Guardiola mapema kabla ya...

Na Salym Juma, Arusha Pep Guardiola ni kocha anayesifika kwa mbinu za kipekee ambazo zilianza kumtambulisha pale Camp Nou tangu mwaka 2008. Dunia ilinyoosha mikono juu pale Pep alipoiongoza Barcelona...

View Article
Browsing all 676 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>