Quantcast
Channel: Makala – ShaffihDauda
Browsing latest articles
Browse All 676 View Live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wachambuzi wa BBC watabiri Top 4 yao

Ian Wright 1. Liverpool 2. Man City 3 . Man Utd 4 . Arsenal Ruud Gullit 1. Liverpool 2. Man City 3. Chelsea 4. Man Utd Martin Keown 1. Liverpool 2. Man City 3. Spurs 4. Man Utd Dion Dublin 1. Man City...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huyu ndiye mwamba Thiery Henry mshambuliaji bora kuwahi kutokea EPL

Siku ya leo Theiry Henry anatimiza miaka 40 ya kuzaliwa kwake. Leo hatutaki maneno mengi, tunaangalia rekodi zake, tuzo zake na mafanikio yake kwa ujumla Wasifu wake Taarifa kwa ufupi Majina Thierry...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mourinho akiona kunguru wamepungua mtaani, nyama za kuku ni nyingi na...

Bila shaka hakuna tena haja ya kumuongelea Mourinho kwa namna nyingine zaidi ya kusema “Ele precisa descansar” (Kireno) Yaani anahitaji kupumzika kidogo. Arudi tena mpaka kule mjini Setubol au aende...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MLIPUKO: Umri wa Okwi ni mwandiko wa daktari, ukiuchunguza sana utachanganya...

Unajua kwa sasa hakuna timu yenye uwekezaji mkubwa sana kuzidi Simba hapa Tanzania. Simba mpo vizuri. Mnafaa mpewe pongezi. Heko kwa Mo na Manara kwa kazi yenu kubwa. Bila kigugumizi Simba imekamilika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nani atamnunulia Kelvin “Mbappe” John tiketi ya Kwenda Manchester

Kevin John, hili jina limebadilisha hali ya hewa uwanja wa taifa. Mabao 6 michezo 3. Inaonekana yupo siriazi na kazi. Sijabahatika kuonana nae lakini nikiri tu kwamba ana uwezo. Pili naweza kutumia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBT: Fahamu kuhusu Bushman! Fedha zake zilibebwa na upepo

Hivi unamkumbuka yule jamaa aliyecheza zile filamu ya Bushman? Hasa ile filamu ya “The Gods Must Be Crazy” unaambiwa alilipwa kiasi cha $300 ikiwa filamu iliingiza $60 milioni.  Na Privaldinho Majina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Drama za Perez zitawaponza Chelsea

Tumesikia Isco anauzwa. Lakini tujiulize kwani Isco Madrid kachoka? Kwani Madrid hakuna nafasi ya Isco? Si ndio Isco yule yule Perez akichukua uamuzi mgumu kumruhusu Di Maria kuondoka ili ampishe Isco...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sipo upande wa Shaffih wala upande wa Simba

Kumekuwa na kauli moja maarufu sana hapa nchini, “Anataka kututoa kwenye lengo” au “anataka kutuvuruga”. Hii kauli hutumiwa zaidi kuzuia watu kuisema Simba iwe kwa uzuri au ubaya. Manara hana makosa...

View Article


Asante David De Gea kwa utamu huu!!

Katika ukurasa wake wa tweeter mwanaume mmoja mabaye wengi walidhani ndiye aliyewahi kuvaa gloves bora kwenye kikosi na historia ya Manchester United alikuwa ameweka emoji ya kunyoosha mikono juu...

View Article


Monaco vs Nice ni vita ya watoto wa Wenger Ufaransa

Kwa wale waliowahi kuiona Arsenal katika ubora wake miaka ya 1996 mpaka 2004 kwenye kikele cha kikosi kikichopachikwa jina la ‘The invisible’ baada ya kucheza msimu mzima wakichukua ubingwa wa EPL bila...

View Article

Kwa heri Petr Cech GLOVES zako zitaendelea kukumbukwa Darajani

Wakati zilipovuja taarifa za golikipa wa Jamhuri ya Czech ambaye alikuwa asajiliwe na klabu ya Manchester United atakwenda Chelsea kwa sababu mtu ambaye alikuwa amesimamia deal ya usajili wake Old...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Historia, mafanikio na kikosi cha AS Vital wapinzani wa Simba leo

AS Vita ni timu iliyopo kwenye viunga vya jiji la Kinshasa nchini DR Congo na imeanzishwa mwaka 1935 ikiwa inaitwa Renaissance lakini baadaye mwaka 1939 ikabadilishwa jina na kuitwa Victoria Club....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jezi ya Man United yazima uhai wa mwanasoka Zimbabwe

“Alikuwa amevaa jezi ya Manchester United, nahisi walidhani ni muandamaji. Wakampiga risasi ya kichwa kisha wakamtelekeza” Maneno ya Mzee Julius Choto “Mwanangu alikuwa tegemezi, Serikali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Liverpool na Senegal zinamdai Sadio Mane

Inachukua muda kupata kile unakihitaji kwa nia zote, hii ni pamoja na kuunganisha sala na juhudi juu ya kile unachokitafuta Hii inajidhirilisha kwa ustadhi Sadio mane. Kwa sasa ni mshambuliaji wa klabu...

View Article

Barcelona inakwama wapi?

Ukitazama jezi ya Barcelona kwenye sehemu ya ‘beji’ ya klabu kuna maneno ya kihispania ambayo tafsiri yake ina maana ya maneno haya ‘ZAIDI YA KLABU’ hii ni moja ya kauli mbiu ambazo zilibuniwa miaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dauda vs Geoff Lea & Maeda kuhusu Barca kumsajili Boateng

Baada ya Barcelona kumsajili Kevin Prince Boateng raia wa Ghana, mijadala imekuwa mingi sana kila mmoja akiwa na mtazamo wake binafsi. Swali kubwa linaloulizwa ni je Barcelona wameshindwa kuendeleza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Manara unakula matunda ya mti wako (Part 1)

Afisa habari wa Simba jana aliwajia juu mashabiki wa soka wanaomkalia kooni baada ya Simba kufungwa na Bandari kwenye mashindano ya SportPesa na kupoteza nafasi ya kucheza na Everton ambapo bingwa wa...

View Article


Manara unakula matunda ya mti wako (Part 2)

Mashabiki wana haki ya kumbana Manara kuhusu matokeo ya timu yao! Haji anatengeneza matatizo halafu yanamrudia mwenyewe, kwa nini una-panic mashabiki wanapohoji kuhusu matokeo mabovu ya timu yao?...

View Article

Alichofanya Manara kilipaswa kufanywa na Simba

Haji aliingia Simba kama mtu wa kawaida sana alikua mtu anayejulikana na watu wachache ila hakuwa maarufu, amewahi kupita Radio Uhuru lakini si wengi walimjua huko amewahi pia kupita CCM lakini si...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ni nani Ruge wako? Je wewe ni Ruge kwa nani?

Mimi ni mmoja kati ya mamilioni ya watanzania waliofatilia kwa ukaribu sana mazishi ya aliyekua mkurugenzi wa uzalishaji wa vipindi wa Clouds Media Group Ruge Mutahaba aliyefariki February 26,2019....

View Article
Browsing latest articles
Browse All 676 View Live


Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>