Quantcast
Channel: Makala – ShaffihDauda
Browsing all 676 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jicho la 3: TFF ‘wameshaharibu utamu wa ligi,’ ni Simba vs Yanga,Azam FC...

Na Baraka  Mbolembole KULIKUWA na ulazima gani wa ligi kuu Tanzania Bara kuendelea Disemba 17 na 18? Najiuliza ni kwanini Shirikisho la Soka nchini-TFF linashindwa kutambua na kupanga muda sahihi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Juma Liuzio: Simba wanichukulie mimi kama wao, wasubiri mambo mazuri  kutoka...

Na Baraka  Mbolembole Baada  ya  kuona  safu yao  ya  mashambulizi ‘haina  makali’  katika ligi kuu Tanzania Bara 2016/17,  klabu  bingwa ya  zamani ya Tanzania  Bara  iliomba  ‘msaada’  katika timu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ngumu Kumeza ya kufungia mwaka 2016

Naingia bar moja karibu na makaburi ya Kinondoni nakutana na jamaa mmoja, anaponiona anaropoka kwa nguvu akisema, umechelewa kidogo sana, ungekutana na wanaodogodesha mpira hapa nchini walikuwepo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jicho la 3: Nilichokiona baada ya dadika 90’ za kwanza Pastory Athanas...

Na  Baraka Mbolembole DAKIKA zake 90’  za kwanza  kama mchezaji  wa Simba SC zilimalizika vizuri, na zimemuachia  kumbukumbu  nyingine nzuri  katika maisha yake ya soka. Alianza katika safu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maoni ya Shaffih Dauda baada ya Azam FC kufukuza makocha wao

Baada ya Azam FC kuwafuta kazi makocha wao wa kigeni, kumekuwa na maoni mengi ya wadau wa soka nchini. Mchambuzi mashuhuli wa masuala ya soka Shaffih Dauda kutoka Clouds Media Group na yeye ametoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTAZAMO VPL: MO anavyopunguza uongo na kuibeba Simba

Na Athumani Adam Frank Lampard hakuwa mahiri sana kwenye kuchezea mpira kama alivyokuwa Austin Jay Jay Okocha, kwa lugha ya kisasa ya mpira kina Okocha wanaitwa ‘Waongo waongo’. Lakini licha ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt. Jonasi Tiboroha ametaja mbinu 8 za kupata matokeo katika michezo

Katibu Mkuu wa zamani wa Yanga SC Dkt. Jonasi Tiboroha amepost andiko kwenye ukurasa wake wa facebook kueleza namna ambavyo timu inaweza kupata matokeo kwenye mechi. Nasikiliza redio, natazama TV na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jicho la 3: Saad Kawemba ameshindwa, Hans van der Pluijm ndiye mtu sahihi wa...

Na Baraka Mbolembole Awali sikuwa shabiki wa Hans van der Pluijm lakini miaka yake miwili na nusu kama kocha wa Yanga SC nitabaki kuamini ni kocha bora zaidi katika muongo wa pili wa karne mpya. Hans...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBT Makala, Mwaka Moja Uliopita: Zidane Tizama Nyuma Ya Miwani Ya Perez

Muasisi wa Taifa hili, hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere alifariki dunia 1999 Oktoba 14. Huu ulikuwa takribani mwaka mmoja tangu Zinedine Zidane atwae taji la ubingwa wa dunia huku akifunga mara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwa Msuva huyu, Azam itatoka?

Yanga vs Azam ndio game inayosubiriwa kwa hamu kubwa na wapenzi wa soka usiku wa leo kuanzia majira ya saa 2:15 usiku ikiwa ni mchezo wa kukamilisha mechi za Kundi B katika michuano ya Mapinduzi Cup...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jicho la 3: Simba SC v Yanga SC, balaa likukute, usilifuate…

Na Baraka Mbolembole GEORGE LWANDAMINA anapaswa kufanya mabadiliko ya wachezaji kutoka katika kikosi ‘kilichosambaratishwa’ 4-0 na Azam FC katika mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi itakapowakabili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘Msimamizi Majimaji vs Yanga alimwambia mwamuzi ahakikishe Yanga inapoteza...

Na Baraka Mbolembole HUSSEIN Athumani alishindwa kuwapa Majimaji FC mkwaju wa penalty katika mchezo uliopita dhidi ya mabingwa watetezi Yanga SC. Mlinzi wa Yanga, Juma Abdul aliunawa mpira ndani ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mjadala wa kesi ya Lufunga ndani ya Sports Extra

Maamuzi ambayo yametolewa na Kamati ya saa 72 ya TFF kuhusu rufaa ya Polisi Dar dhidi ya mchezaji wa Simba Novalty Lufunga imekuwa ni issue ambayo ina-trend sana kwenye mitandao ya kijamii pamoja na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jicho la 3: Simba SC ‘wamepoteza’ haki ya kushiriki FA Cup, watachapwa na...

Na Baraka Mbolembole USAJILI ‘mbovu,’ umakini mdogo, mapenzi yaliyopitiliza, na uwezo mdogo wa watendaji wa Simba SC katika utunzaji wa kumbukumbu muhimu za timu yao kwa mara nyingine unawaangusha....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wayne Rooney na mabao yake 250, Abdallah ‘King’ Kibaden na hat-trick yake

Na Makoleko Kalibonge II JUMAMOSI 21 Januari, 2017, mshambuliaji wa kimataifa wa England Wayne Rooney alifunga bao ambalo liliamua matokeo ya aina mbili: kwanza lilikuwa bao la kusawazisha na kuipa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wenger hastahili mkataba mpya Arsenal, akisaini yeye ni mkubwa kuliko Arsenal

Na Frank Lelo Arsene Wenger ni kocha wa kipekee kabisa kwenye ramani ya soka. Ni kocha ambae Arsenal imempa uhuru mkubwa wa kufanya kazi na kufanya maamuzi makuu kuhusu timu kuliko kocha yoyote kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘Mechi tano, magoli manne, pointi 3, yatakuwa mafanikio makubwa Simba’

Na Baraka Mbolembole SIMBA SC  walipokea  kipigo  cha tatu msimu  huu  siku  ya Jumamosi  iliyopita na mabingwa  watetezi  Yanga SC walifanikiwa  kupata ushindi  wa 14 katika ligi kuu Tanzania bara na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nini kinaiua Ndanda FC?

Na Makoleko Kalibonge II HAKUNA timu inayopeanda kushuka daraja. Ni kwa sababu ya utaratibu tu uliowekwa kulingana na matakwa ya ligi husika kuwa, ligi itakuwa na timu kadhaa kwa msimu na timu kadhaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jicho la 3: Sababu 4 muhimu ambazo zinawabeba Yanga kuelekea taji la 3...

Na Baraka Mbolembole MICHEZO  kumi  kuelekea  mwisho  wa  msimu  wa ligi kuu Tanzania bara 2016/17  mabingwa  watetezi  Yanga  SC  wamerejea  katika kilele  cha msimamo  wakiwa na alama  46  baada  ya...

View Article

Jicho la 3: Sababu 3 za kushuka kwa soka la Morogoro licha ya vipaji vingi...

Na Baraka Mbolembole Mawenzi Market inakaribia kupanda daraja-kutoka ligi daraja la Pili hadi  ligi daraja la kwanza Tanzania Bara msimu ujao. Polisi Moro FC inaweza kurejea ligi kuu kwa mara ya nne...

View Article
Browsing all 676 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>