Quantcast
Channel: Makala – ShaffihDauda
Browsing all 676 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Carrick sio Paka ni simba aliyenyeshewa

Msimu wa 2006 tarehe 31 Mwezi Julai, Spurs walipokea dau la £14m, kumuuza Carrick, kuelekea klabu ya Man United. Ilikuwa tarehe kama ya leo na mwezi kama leo ndipo Carrick alielekea Old Trafford....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madili haya ni “Pasua Kichwa”

Makocha na mashabiki wengi huwa wanakosa sana amani wakati wa usajili. Ukisikia mchezaji wako anahitajika na vilabu kama PSG, Real Madrid, Barcelona na Man United basi matumbo joto. Kwa sasa kuna...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serie A is Back (Baba mtakatifu angesemaje dili la Ronaldo?)

Hapo zamani za kale Italia ilikuwa na watu wabaya kwenye soka la ulaya. Walijua kushawishi sana wachezaji. Alikuwepo mwanaume aliyejulikana kama Silvio Beluscone na kule Turin alikuwepo mbabe wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongera sana Jokate lakini usiwasahau akina Hazard

“Unyenyekevu, busara na hekima nijalie eh Mungu Wangu” Jokate Mwegelo. Nataka niwahadithie kitu. Hapo zamani palikiwepo na wakulima walisemekana walikuwa wamelala shambani nchini fulani. Wafanyakazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jezi ya Rashford ni nzito sana

Moja ya wachezaji wakubwa kuwahi kuvaa jezi namba 10 pale Old Trafford ni Dennis Viollet, mmoja mashujaa wa Sir Matt Busby’s “Babes” Kuna baadhi ya wachezaji waliova pia namba hizo. Mashujaa wengine ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

La Masia ni kinyago cha Barcelona, hakina madhara tena

Ukiitazamana kwa makini NOU CAMP utagundua inaangamia taratibu ikiwa na tai shingoni. Wanahaha kila kukicha. Hivi majuzi kuna watu waliikebehi Barcelona kuwa imegeuka kuwa Madridfication kwa wale...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wachambuzi wa BBC watabiri Top 4 yao

Ian Wright 1. Liverpool 2. Man City 3 . Man Utd 4 . Arsenal Ruud Gullit 1. Liverpool 2. Man City 3. Chelsea 4. Man Utd Martin Keown 1. Liverpool 2. Man City 3. Spurs 4. Man Utd Dion Dublin 1. Man City...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huyu ndiye mwamba Thiery Henry mshambuliaji bora kuwahi kutokea EPL

Siku ya leo Theiry Henry anatimiza miaka 40 ya kuzaliwa kwake. Leo hatutaki maneno mengi, tunaangalia rekodi zake, tuzo zake na mafanikio yake kwa ujumla Wasifu wake Taarifa kwa ufupi Majina Thierry...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mourinho akiona kunguru wamepungua mtaani, nyama za kuku ni nyingi na...

Bila shaka hakuna tena haja ya kumuongelea Mourinho kwa namna nyingine zaidi ya kusema “Ele precisa descansar” (Kireno) Yaani anahitaji kupumzika kidogo. Arudi tena mpaka kule mjini Setubol au aende...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MLIPUKO: Umri wa Okwi ni mwandiko wa daktari, ukiuchunguza sana utachanganya...

Unajua kwa sasa hakuna timu yenye uwekezaji mkubwa sana kuzidi Simba hapa Tanzania. Simba mpo vizuri. Mnafaa mpewe pongezi. Heko kwa Mo na Manara kwa kazi yenu kubwa. Bila kigugumizi Simba imekamilika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nani atamnunulia Kelvin “Mbappe” John tiketi ya Kwenda Manchester

Kevin John, hili jina limebadilisha hali ya hewa uwanja wa taifa. Mabao 6 michezo 3. Inaonekana yupo siriazi na kazi. Sijabahatika kuonana nae lakini nikiri tu kwamba ana uwezo. Pili naweza kutumia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBT: Fahamu kuhusu Bushman! Fedha zake zilibebwa na upepo

Hivi unamkumbuka yule jamaa aliyecheza zile filamu ya Bushman? Hasa ile filamu ya “The Gods Must Be Crazy” unaambiwa alilipwa kiasi cha $300 ikiwa filamu iliingiza $60 milioni.  Na Privaldinho Majina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wamemkatili Ozil kama msaliti lakini dunia inamtazama kama shujaa

“Nimezaliwa na kukulia Ujerumani, kwanini watu hawaniheshimu kama mjerumani mwenzao”Ozil Özil ana asili ya Turkish-German [Uturuki na Ujeruman]. Hajawahi kukana asilia yake, wala haoni aibu kusifia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Real Madrid wajitathmini sana kwa Jr

REAL MADRID Real Madrid imemsajili Vinicius Junior kutoa Brazil. Kijana huyu fundi kila mtu anasema neno jema kwake. Wengine wanaamini kuwa huyu ndiye mchezaji pekee mwenye udambwi wa Neymar. Mwandishi...

View Article

Wachezaji 10 wakigeni VPL sio ishu, ishu inaanzia hapa…!

Rais wa TFF Wallace Karia ametoa ufafanuzi juu ya kilichopelekea TFF kufanya marekebisho ya kanuni za ligi kuu ikiwa ni pamoja na kjongeza kioengele cha wachezaji 10 wa kigeni jambo ambalo linaonekana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ali Kiba, mpira ni mzito kuliko MIC

Baada ya mchezo wa Timu Samatta Vs Timu Ali Kiba nilipata nafasi ya kuongea na Kocha Julio. Nikamuuliza anaonaje kiwango cha Ali Kiba. Akasema Ali Kiba ana kipaji kizuri kuliko hata baadhi ya wachezaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hela zinawatoa povu Klopp na Mourinho

Mourinho, ameeleza kwamba kocha mkuu wa Liverpool Jurgen Klopp anapaswa kushinda kombe msimu kutokana na usajili mkubwa aliofanya. amesema hayo baada ya Liverpool kutumia zakdi ya £185m katika wiki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Orodha ya wachezaji waliodanganya mashabiki wao, (Henry, Nasri,..)

GAEL CLICHY Mlinzi wa zaman wa kushoto wa Arsenal alocheza pamoja na akina Kolo Toure na Emmanuel Adebayor wote hawa walijunga Man City – among other pamoja na Yaya Toure na Carlos Tevez – walijunga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rodrygo ana vitu vitatu “Kipaji cha Neymar, kivuli cha Pele na nyayo za Robinho”

Amezaliwa kule Osasco, katika jiji la São Paulo. Sasa hivi ukiachilia mbali dili la Vinicious kujiunga na Madrid basi kuna mtu anaitwa Rodrygo. Rodrygo alijiunga na Santos’ akiwa na mika 10 mwaka 2011....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cristiano Ronaldo – Mgodi unaotembea – hivi ndivyo timu pinzani Serie A...

Ilifahamika wazi kwamba kuwasili kwa Ronaldo Serie A kungeongeza demand ya mambo mbalimbali nje na ndani ya uwanja. Siku moja baada ya uhamisho wake kutoka Real Madrid kutangazwa iliripotiwa Juventus...

View Article
Browsing all 676 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>